Wednesday, January 11, 2012

Hii ndiyo ESAMI Bwana


Nipo A town kwa kujengewa uwezo wa kuchambua masuala ya jinsia hasa katika bajeti.East and South Africa Management Institute (ESAMI)ndiyo wanaoendesha mafunzo haya kwa wafanyakazi 6 kutoka Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika. Chuo hiki kwa kweli ni cha aina yake katika Bara letu la Afrika na kimebobea katika masuala ya menejimenti- sekta mbalimbali.

No comments: