Monday, February 6, 2012

Mzee Begeya wa Kisemvule


Mzee Begeya (wa pili kutoka kulia mwenye bargashia ya maua na kanzu ya draft)ni mmoja kati ya wazee wanaoheshimika kijijini Kisemvule. Sifa yake kuu ni kuhudhuria mikutano iwe ya kijiji ya wazazi hakosekani labada kwa udhuru. Na awapo kikaoni huwa na nguvu ya hoja.Wakati nilipopiga picha hii alinihoji je ina maslahi kwake?

No comments: