Monday, February 6, 2012

Na hawa je?


Wakati kikao kinaendelea vijana waliokuwa ndani ya banda hili waliendelea na mchezo wa 'draft' bila kujali, kama vile wao si wanakijiji. Hawa ndiyo vijana wetu. Watanzania wa kesho, wanakisemvule wa kesho. Hivi kweli maendeleo yanaweza kupatikana katika mtazamo huu? Hivi kweli mkutano wa kijiji ni wa wazee tu? Yakiptishwa maamuzi, vijana wanalalamika wamesahaulika. Utakumbukwaje kama huhudhurii vikao na kutoa hoja au kero kwa maendeleo ya kijiji na taifa kwa ujumla?

No comments: