Wednesday, February 1, 2012

Ukarimu wa Watanzania

Ukarimu wa Watanzania ni wa asili. Karibu makabila yote hapa nchini yanajua kukarimu vizuri. Mgeni anapptembelea nyumbani kwako jitahada zinafanywa kuhakikisha kuwa amekarimiwa vya kutosha hasa chakula. Hivi ndivyo ilivyokuwa nilipokuwa Arusha nilipopata nafasi ya kuwatembelea ndugu na jamaa.Mama Vanesa (Mrs Himili Mbawala)aliandaa chakula cha jioni
Mtoto Vanesa alishiriki pia lakini mvuto ulikuwa kwa chips kama ilivyo kawaida kwa watoto kupenda chips.
Gari ya familia ilitumika kunipeleka sehemu muhimu nilizopenda kuziona kama vile Taasisi ya Nelson Mandela.
Familia nzima pamoja na mgeni wanajumuika na kuongea pamoja baada ya chakula

No comments: