Monday, February 6, 2012

Mdau wa Kijiji cha Kisemvule


Mmoja wa wadau waliokaribishwa katika mkutano wa Kijiji cha Kisemvule ni Mkurugenzi wa Taasisi za Elimu (Shule ya Msingi White Angels & Sekondari ya Bright Angels)Bw. Mwambeleko, (mwenye mic) alipewa fursa ya kutoa nasaha zake kwa kijiji.

No comments: