Saturday, February 18, 2012

Wanahitaji miundo mbinu ya kisasa

Mkoa wa Pwani ni mmoja kati ya mikoa uliyajiliwa kuzalisha aina mbalimbali za matunda yakiwemo machungwa, mananasi, maembe,pasion, matikiti,matango. Aidha inazalisha kwa wingi nazi na korosho. Tatizo ni soko la uhakika kwa mazao hayo. Kwa kawaida kila zao lina msimu wake isipokuwa kwa nazi.Wakulima wakipata mbinu bora za uzalishaji na uhakika wa soko hakika uzalishaji utaongezeka na kipato cha wananchi kitaongezeka.

Wafanyabiashara hawa wadodowadogo wa matunda wanahitaji elimu,mbinu na miundombinu bora ya kisasa kuboresha soko la matunda yao. Hii ndiyo hali halisi kijijini Kisemvule kwenye soko doko la kituo cha bus.


No comments: