Saturday, February 18, 2012

Makazi yanaongezeka miti inakatwa

Makazi mapya yanaongezeka kwa kasi kubwa jijini Dar Es Salaam na sasa watu wanatafuta makazi mapya mkoa wa Pwani. Hivi sasa minazi na miembe inapungua kwa kasi ya kutisha mkoa wa Pwani kupisha makazi mapya. Pichani makazi mapya kijijini Kisemvule.

No comments: