Thursday, September 15, 2016

Athari ya Tetemeko la Ardhi Bukoba

Tetemeko la Ardhi lililotokea Bukoba.Baadhi ya nyumba za Ibada zimeathirika.Kanisa Katoliki Ihungo limeharibiwa vibaya. Poleni sana wenzetu wa Bukoba.(Picha kwa hisani ya ukurasa wa fb. Askofu Method Kilaini).

No comments: