Wednesday, September 28, 2016

Huyu ndiye Ibrahim Ajibu wa Simba

Ibrahim Ajibu wa Simba Sports Club (Nyekundu) akiruka kiunzi wakati wa mpamboa wa klabu yake na AFC-Leopards kutoka Kenya-Tarehe 8/8/2016 katika uwanja wa Taifa, Dar Es Salam. Leopards ilala 4-0. Ni katika kuadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwa klabu ya Simba ninayoipenda mimi!

No comments: