Thursday, September 22, 2016

Kunywa maziwa kutoka Meatu

Nadhani somo limeeleweka na limekubalika. Mkuu wa Mkoa wa Shimiyu Mhe. Anthony Mtaka akionyesha  maziwa ya Meatu. Hakika inafurahisha na inapendeza. Cha kufurahisha Maziwa hayo yanatengenezwa na mradi wa vijana. Hivyo ni moja ya vyanzo vya ajira na mapato kwa vijana.(Picha kwa hisani ya Michuzi Blog)

No comments: