Thursday, September 22, 2016

Tutumie vya kwetu- Chaki kutoka Maswa

Mkoa wa Simiyu umeanza kutengeneza chaki kutoka Maswa. Tupende na kutumia vya kwetu. Inakuwawaje hata chaki tuagize kutoka nje? Pichani Mkuu wa Mkoa wa Simiyu  Mhe. Anthony Mtakwa akishangaa Chaki kutoka Maswa mali ya Tanzania.

No comments: