Friday, January 30, 2015

Utafiti wa Muhogo Chambezi kupitia mradi wa EAAPP

Ili kupata mbegu bora ya muhogo, utafiti hupitia hatua mbalimbali ikiwemo hii ya 'clonal evaluation trial' kama tulivyoelezwa na mtafiti Karoline Sichalwe(mwenye t-shirt ya mauamaua) kutoka kituo cha Utafiti wa Kilimo-Kibaha anayefanya utafiti wa kupata aina bora ya mbegu ya muhogo kwenye mashamba yaliyopo kituoni Chambezi-Bagamoyo. Utafiti unagharamiwa na mradi wa EAAPP.

No comments: