Monday, July 13, 2015

Altare nyumbani kwa Nkwera

Jumuiya ya Mt.Joseph Mfanyakazi ilipoazimisha  siku ya somo wa Jumuiya tarehe 2/5/2015. Wanajumuiya walikusanyika nyumbani kwa Mwl. Angriberth Nkwera na kusali pamoja. Altare ya Mungu inapohamia nyumbani kwake ni jambo la kumshukuru Mungu.

No comments: