Monday, July 13, 2015

Watafiti kutoka Mikocheni

Baadhi ya watafiti nguli wa kituo cha utafiti wa kilimo Mikocheni wakifuatilia kwa makini hotuba ya Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika wakati wa uzinduzi wa taarifa ya kimataifa ya mwaka 2014 kuhusu baiteknolojia uliyozinduliwa kwenye viwanja vya makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar E s Salaam mwezi Juni 2015. Kituo cha Mikocheni ndiko kuliko maabara ya kisasa ya utafiti wa baiteknolojia katika kilimo.

No comments: