Monday, July 13, 2015

Tunapokea zawadi kutoka kwa watoto wetu

Mwezi Juni 15,2015. Bw na Bibi Victor Shayo walifunga pingu za maisha ndani ya Kanisa la Mt. Vinsenti wa Paulo, Vikindu. Familia hiyo ilituchagua mimi na mke wangu kuwa wazazi wao wa kiroho katika maandalizi yote ya ndoa hiyo hadi walipofunga ndoa. Hapa wanatukabidhi zawadi yao baada ya kutukaribisha kwao wanakoishi (Vikindu). Asanteni sana. Tunawatakia ndoa yenye furaha.

No comments: