Monday, July 13, 2015

Tunaandaa database ya uwekezaji katika sekta ya kilimo

Kwa kushirikiana na Bill and Melinda Foundation na Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika pamoja na wale wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi wakiwa katika mafunzo ya kuandaa database hiyo.

No comments: