Monday, July 13, 2015

Junior na Herieth wa Buguruni-Maghorofani





Junior na Herieth wanaishi kwenye jengo moja lililopo Buguruni -Maghorofani. Hawa wanatoka familia tofauti. Junior ni mpwa wangu anatoka Morogoro-Matombo na rafikiye Herieth ni Mchagga wa kutoka Rombo-Kilimanjaro. Nilipomtania uncle Junior kama tutapeleka "mahali Uchaggani" alikuwa na aibu na kubaki kucheka tu.

No comments: