Monday, July 13, 2015

Ilibidi kuweka kumbukumbu na watoto hawa




Junior na Herieth wa Buguruni ni watoto marafiki. Nilipowatembelea nyumbani kwao nilifurahishwa jinsi walivyokuwa wakishirikiana. Wanacheza pamoja na kula pamoja. Junior ni Mluguru na Herieth ni Mchagga. Ushirikiano waliounyesha ni dalili nzuri kuwa hata wazazi wao wanashirikiana. Hii ndiyo Tanzania umoja unajengwa toka tukiwa wadogo. Nami niliona ni heri nikapiga picha ya kumbukumbu pamoja nao.

No comments: