Monday, June 8, 2015

Hebu tuone familia ya Shirika la Masista wa Carmel

Shirika la Masista wa Kikatoliki la Mlima wa Carmel limetapakaa duniani kote kama mti huo unavyoonesha. Wako katika bara la Afrika, Asia, Ulaya na Amerika. Hawa ndiyo wamiliki wa Carmel Pre & Primary School Vikindu iliyopo wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Shule hii ni moja kati ya shule zinazoongoza wilayani na mkoani Pwani.

No comments: