Monday, June 1, 2015

Naongea na wapwa zangu

Jana tarehe 31 May nilikuwa nyumbani Makuburi, Mabibo-Dar. Kulikuwa na shughuli ya kumpungeza binti wetu Celesti Frank Mdimi kupokea komunio ya kwanza. Hapa naongea na wapwa zangu waalikwa kwenye shughuli!

No comments: