Monday, June 1, 2015

Barabara ya Kilwa matengenezoni

Sehemu ndogo ya barabara ya Kilwa kutoka kwa Aziz Ali hadi Mtoni Mtongani, ipo kwenye matengenezo na hii husababisha foleni kubwa ya magari wakati wa asubuhi na jioni. Kasi ya matengenezo ni ndogo sana. Wajenzi waharakishe kwani ni kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.

No comments: