Monday, June 1, 2015

Ilipo St. Anthony Sekondari

Hapa ni Mbagala Sabasaba ilipo St. Anthony Sekondari School inayomilikiwa na Kanisa Katoliki-Jimbo Kuu la Dar Es Salaam. Sekondari hii ina kidato cha tano na sita pia. Iko kando ya barabara ya Kilwa, wilaya ya Temeke, Dar Es  Salaam. Haifanyi vizuri sana miaka ya hivi karibuni, kulikoni?

No comments: