Monday, June 1, 2015

Anauza mihogo ya kutafuna akiwa na simu

Biashara ya mihogo ya kutafuna inaenea kwa kasi jijini Dar. Mihogo hii ya kutafunwa waauzaji wake wengi ni wanawake. Mara nyingi huuza  na nazi kavu ya kutafuna (mbata). Uchunguzi nilioufanya wateja wengi wa bidhaa hii ni madereva wa daladala. Pichani anaonekana dada akiandaa mihogo hiyo huku akiongea na simu. Teknolojia popote!

No comments: