Monday, June 1, 2015

Celesti Frank Mdimi ametuita Makuburi!

Da Meab Mdimi na dogo Macarios Banzi 

Mzee Mangengesa Mdimi (mwenye koti la kitenge) Mama Dolorose Mdimi, Aunt Restituta Mluge (anayecheka) na Aunt Frida Mluge (aliyenipa mgongo)

Da Meab Mdimi na Da Suzy Banzi (Mrs. Mwanadota)

Naongea na Mama Doro (Mrs. Mangengesa Mdimi) wengi ni shem Thom aunt Fridah Mluge na Dada Meab Mdimi (gauni nyeupe)

Binti yetu Celesti Frank Mdimi kwa  mara ya kwanza amepokea sakramenti ya Ekaristi Takatifu ndani ya Kanisa Katoliki Makuburi-Dar Es Salaam siku ya Jumapili tarehe 31/05/2015. Kwa furaha hiyo ndugu tulikusanyika nyumbani kwa Mangengesa Mdimi  pale Makuburi, Dar kumpongeza.Tukio hilo limetukutanisha ndugu na jamaa wengi

No comments: