Monday, June 8, 2015

Ilibidi waeleze jinsi figo inavyofanya kazi

Wanafunzi hawa wenye vipaji wa shule ya Msingi ya Carmel iliyopo Vikindu wilaya ya Mkuranga, walikuwa na mada ya kueleza jinsi figo inavyofanya kazi. Nilipofika kwenye meza yao tarehe 6/6/2015 nilishangaa uwezo wa vijana hao katika kuelezea figo. Wanafunzi hawa wanajengwa  kuipenda sayansi kivitendo wakiwa wangali wadogo kabisa.

No comments: