Monday, June 8, 2015

Africana yakutana Temboni Dar




Jana tarehe 7/06/2015 umoja wetu wa Africana tulikutana huko Kimara Temboni. Kwenye kikao hicho tulitaarifiwa kuwa mdogo wetu Christian Mkoba anatarajia kufunga ndoa mwezi Julai mwaka huu na vikao vya maandalizi ya sherehe ya harusi vimeshaanza hivyo michango inatakiwa. Aidha mradi wa kuuza T-shirt  kwa bei ya shilingi 15,000/= unaendelea na pia khanga zinachapishwa.Wanachama walikumbushwa kutoa michango yao ya kila mwezi.

No comments: