Monday, June 8, 2015

Katika orodha ya wanasayansi wa dunia Afrika haimo

Sikushangaa kuona orodha ya wanasayansi ndefu iliyokosa waafrika. Mwanafunzi huyu wa shule ya Carmel iliyopo Vikindu, Mkuranga mkoa wa Pwani alikuwa na mada ya kwaeleza wazazi na wadau wa shule hiyo orodha ya wanayasansi wa dunia ambao wavumbua vitu mbalimbali.

No comments: