Monday, June 1, 2015

Naongea na Mama zangu


Cheki tulivyofurahi. Jana tarehe 31 Mei 2015 nilikutana na mama zangu na shangazi zangu na kupeana michapo mingi. Hapa wananiuliza vipi Kisemvule. Mimi najibu- Poa tu huku tukigongeana. Safi sana. Hapo tuko nyumbani Makuburi -Mabibo, Dar Es Salaam.

No comments: