Monday, June 1, 2015

Usafiri Dar



Usafiri Dar uko wa aina nyingi. Kuna wanaotumia pikipiki,pikipiki za magurudumu matatu a.k.a Bajaj, mabus,taxi, na magari binafsi aina nyingi kama inavyoonekana pichani. Changamoto, baada ya mvua nyingi kunyesha barabara nyingi zimeharibika kwa hiyo si salama kwa abiria kwani husababisha ajali.

No comments: