Monday, June 1, 2015

Napata fursa ya kuongea na Mangengesa na Mama Beaty

Jana tarehe 31 May 2015 nilikuwa nyumbani Makuburi-Dar kwa Wazee wangu Baba na Mama Mangengesa Mdimi. Nikiwa hapo nilipata fursa ya kuongea na Mzee Mdimi na Mama Beatrice P. Mhango (kulia). Hapa tunasubiri wageni ili shughuli ya kumpongeza binti yetu Celesti Frank Mdimi ianze.

No comments: