Monday, June 1, 2015

Huyu ndiye Celesti Frank Mdimi



Binti yetu Celesti  Frank Mdimi (mwenye vazi jeupe) aliyepokea komunio ya kwanza tarehe 31Mei 2015 akiwa na mpambe wake Miss Thom (mtoto wa dada Janet Mluge)nyumbani kwa Babu na Bibi Mdimi - Makuburi-Mabibo, jijini Dar ambako alipokelewa kwa shangwe na ndugu zake  na kufanyiwa tafrija kabambe ya kumpongeza.

No comments: