Monday, May 18, 2015

Eti huyu naye ni samaki

Baharini kuna mambo. Huyu naye ni samaki! Hayo mazaga zaga yote ni kwa kujilinda. Ni misumari yenye sumu kali. Ukikanyaga tu lazima udhurike. Samaki wa aina hii anapatikana  Australia anaitwa 'the reef stonefish.' Pamoja ya kuwa ni samaki lakini sijui kama analiwa. Kwanza utamkamataje samaki wa aina hii?

No comments: