Friday, May 1, 2015

Tunaweza kujenga nyumba miambani

Tunaweza kujenga nyumba miambani hapa Tanzania. Tatizo ni miundo mbinu. Umeme na maji vitafikaje? Barababara je. Nyumbani kwetu Morogoro hasa Mgeta na Matombo watu wanajenga milimani. Ukiwa huko na raha mustarehe na unapata ulinzi wa uhakika!

No comments: