Wednesday, May 13, 2015

Ng'ombe wenye nundu bado lulu India

Wahindi hawajatelekeza ng'ombe wao wa asili, isipokuwa wanazidi kuendelea na utafiti ili waweze kuleta tija, kwani ng'ombe hao wapo siku nyingi wanastahimili mazingira ya sehemu hizo. Wako wapi ng'ombe wetu wenye nundu? Wako wapi Zebu wetu wenye nyama tamu. Wako wapi? Watafiti tuambieni, utafiti unaendelea? Je, tumewekeza vya kutosha katika utafiti wa mifugo? Jibu sina uhakika kwa hilo.

No comments: