Wednesday, May 13, 2015

Anaweza kuwa sangara

Inawezekana amemvua sangara. Tuna maziwa,bahari na mito pamoja na mabwawa. Je, samaki wameweza kuinua uchumi wa nchi yetu? Magufuli alipojaribu, waliofuata hatusikii chochote kuhusu uimarishaji wa sekta ndogo ya uvuvi.

No comments: