Friday, May 1, 2015

Si unachotaka mafuta

Shida yako ni mafuta. Mbwembwe za nini? Unachotakiwa ni kuwa na tank lenye mafuta, pump, kibanda na mhudumu wa kutoa huduma ya mafuta - period! Nashangaa unaposafiri kutoka Morogoro hadi Matombo hakuna hata kituo kimoja rasmi cha mafuta.

No comments: