Thursday, May 7, 2015

Kiongozi wa Korea ya Kaskazini asiye na masihara

Anaonekana ni kijana na mnyoa punk. Lakini hana masihara huyu. Ni rahisi KIM JUG II wa Korea ya Kaskazini. Ukiingia katika anga zake asivyotaka yeye na kukushuku vibaya unanyongwa tu. Inasemekana kwamba tayari ameshanyonga watu 15  katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

No comments: