Friday, May 1, 2015

Samaki wa baharini


Huyu ni samaki aliyevalishwa kofia nyekundu. Ni viumbe vilivyoko baharini. Haya ni maajabu ya Mungu. Kuna vitu vingi ambavyo MUNGU ameviumba ambavyo wewe hujaviona. Vingine vinatisha na kushangaza.

No comments: