Friday, May 1, 2015

Nyuki anathamini alizeti sisi je?

Ona jinsi nyuki anavyothamini alizeti na kulifuata. Je, sisi tunathamini zao la alizeti linalotupatia mafuta na kuongeza kipato? Pamoja na kuwa na maeneo mengi yanayoweza kustawisha alizeti hapa nchini, sijaona mkakati wa kuliendeleza zao hilo, tunagusagusa tu.

No comments: