Wednesday, May 13, 2015

Ninapomkumbuka Uncle Dr. G.Mluge

Dr. Gregory Paul Mluge (R.I.P.)  na mkewe Restituta Mluge wakiwa na mjukuu wao katika picha ya pamoja mwaka 2011. Baada ya kuipata picha hii nimeamua kuining'iniza kwenye blog hii ya Banzi wa Moro kwa kumbukumbu. Nitakukumbuka daima unlce Dr. Mluge ulikuwa nguzo ya familia na utaendelea kuwa nguzo ya familia kwa msingi uliouweka katika maisha yako. Dr. Mluge alifariki mwaka 2013 na kuzikwa nyumbani Matombo (Kiswira), Morogoro. Amina.

No comments: