Monday, May 18, 2015

Pweza huyu ni hatari

Pweza huyu anajulikana kwa jina la 'blue ringed octopus' ana sumu kali sana. Inasemekana kuwa akikuuma basi huchukui masaa mawili umeshaisha! Pweza wa aina hii wanapatikana Australia. Sijui kama kwenye bahari yetu ya Hindi wapo. Kwa kawaida samaki aina ya Pweza hupatikana baharini tu (maji chumvi). Pamoja na kupenda kula Pweza huyu anatisha!

No comments: