Saturday, May 17, 2008

SIYO CHELSEA NI VODAFASTA-ARUSHA

Nipo Arusha yapata juma moja sasa. Moja ya vitu vilivyonishtua na kunifurahisha katika jiji la Arusha ni jinsi huduma ya VODAFASTA inavyopatikana karibu katika kila kona ya jiji. Ukitupa jicho kulia na kushoto mbele na nyuma hukosi kuona rangi nyeupe. Hao si wengine bali ni watoaji huduma wa VODAFASTA. Mwite, msimamishe popote pale huduma ya voda chapchap.

Huu ndiyo ushindani wa kibiashara ama kwa hakika naweza kusema VODA wamefanikiwa sana kwa jiji la Arusha. Huu ni ubunifu mzuri. Wateja tunafurahia huduma za aina hii.

No comments: