Wednesday, September 17, 2008

Sera nzuri utekelezaji hafifu

Watanzania, na wasio watanzania, wasomi na wasio wasomi niolibahatika kuzungumza nao wanasema, Watanzania ni wazuri katika kuandaa sera lakini utekelezaji wa kile kilichoandaliwa una walakini mkubwa. Sekta zote zina sera nzuri iwe utalii, kilimo, viwanda, afya .... lakini kwanini hatuendelei? Je, sera zilizopo zinafuatwa? Nani wa kutekeleza sera hizo? Tatizo hilo tutalitatuaje. Tufikiri sote. Natumie maoni yako.

No comments: