Tuesday, July 14, 2009

Hotel Accra bado

Nipo hapa Accra Ghana tangu tarehe 11 Julai 2009 usiku kwa mwaliko wa SADC/ICART kushiriki kongamano linalohusu Habari na Mawasilino katika Utafiti wa Kilimo na Maendeleo Afrika. Naanza kwa kusema kuwa kwenye hoteli hii niliyofikia naona huduma zimezorota kidogo hasa katika maakuli pamoja na kuwa kweli Hotel ni nzuri lakini utendaji wa wahudumu wa sehemu ya chakula ni wa mashaka sana.Sijui kwa mahotel mengine lakini hii haijafua dafu na kwetu Tz!

No comments: