Monday, July 6, 2009

Sielewi kwa nini Michael Jackson alichukia kuwa mweusi

Mimi ni mwafrika tena ni mweusi. Najivunia kuitwa Mwafrika, na pia najivunia kuwa mweusi. Kwa marehemu Michael Jackson mambo hayakuwa hivyo alitumia fedha nyingi kujibadili kutoka rangi nyeusi kuwa nyeupe.

Quincy Jones mtaalamu wa muziki aliyekuwa akimtayarishia Michael album zake nyingi za muziki alisema kuwa mwimbaji huyo aliongopa kuhusu ngozi yake na kwamba alikuwa hapendi kuwa mweusi.

No comments: