Thursday, July 23, 2009

Uchafu unatugaharimu USD 23.5 billion kwa mwaka

Uchafu unaigharimu Afrika USD 23.5 billion kwa mwaka - kwa ajili ya kutibu magonjwa, vifo visivyotarajiwa, uzalishaji duni,tatizo la kukusanya maji, na kwa kuharibu vyanzo vya utalii.

Mwandishi wa Habari maarufu Afrika Mashariki Charles Onyango Obo alikuwa na hili la kuhitimisha- That's TIDY SUM!

No comments: