Thursday, July 23, 2009

Rwanda wanahifadhi misitu-Mkuranga wanatekeza Mwandege

Licha ya kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe, Rwanda inapiga kasi katika maendeleo. Ni nchi ndogo lakini mara kwa mara inatusumbua katika soka. Nasikia pia mji wa Kigali ni msafi sana. Wanajifunza kwa haraka sana mambo mengi. Na hili la kuongoza kwa kuhifadhi misitu linalipa kwenye mazingira. Mambo kwa vitendo, mipango pekee haitoshi. Wakati Rwanda wanahifadhi misitu Wamkuranga hawaoni umuhimu wa msitu wa Mwandege.

No comments: