Monday, July 6, 2009

Mahakama ya Kadhi isiwe sababu ya kutoelewana

Watanzania tumeishi kwa miongo mingi bila kuwa na Mahakama ya Kadhi. Na sijui tumeathirika vipi kwa kutokuwa nayo. Leo hii serikali inapokataa kuwa na Mahakama hiyo imetafakari kwa kina kuhusu jambo hilo. Kwahiyo kuwepo na kutokuwepo kwa Mahakama ya Kadhi isiwe sababu kwa Watanzania kukosa kuelewana.

No comments: