Thursday, July 23, 2009

Uchafu unaua watoto wa kiafrika 600,000 kwa mwaka

Imebainika kuwa uchafu na maji yasiyo salama ni chanzo cha vifo vya watoto 600,000 wanaofarika barani Afrika kila mwaka. Hebu fikiria watoto 600,000 ni mabus mangapi ya abood ya kwenda Morogoro? 10,000 yenye maiti!

No comments: