Thursday, July 23, 2009

Msukuma aliyekataa kufunga mkanda ndani ya ndege

Gazeti la kila siku la Habari leo tarehe ya leo ilikuwa na habari nzuri sana ya Msukuma aliyekataa kufunga mkanda akiwa ndani ya ndege ya Precision Air kwenda Mwanza. Alikataa kata kata hadi alipofungwa kwa nguvu na wahudumu wa ndege. Aidha Msukuma huyo alipanda na bakora yake na alikataa kabisa kuiacha. Kwa habari zaidi soma Habari leo la tarehe 23 Julai 2009. Vipi mtani nasikia ulifiri umo ndani ya nyumba kubwa!

No comments: